Wednesday, September 26, 2012
Vijana wajitokeza uchaguzi CCM. Wakati chama cha mapinduzi kikiendelea na uchaguzi wa chama, vijana wenye umri wa miaka arobaini (40) na wasomi wa elimu ya juu ndio waliojitokeza kuchukua fomu. Akiongea katibu mwenezi wa chama hicho Nape Nnauye, amesema kuwa chama hicho kimepanga kuleta mabadiliko katika utendaji, "Nimeshuhudia kuona asilimia 50 ya waliochukua fomu ni vijana" .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
picha na Riziki Mashaka.
-
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
No comments:
Post a Comment