Saturday, September 8, 2012
Vijana Acheni Ulevi Jijini Dar limezuka wimbi la matapeli ambao huwanywesha vijana pombe na baadae kuwaibia kila kitu walichokuwa nacho. Vijana wanapenda Pombe wakati hawana kipato cha kutosha na hatimae kutaka kunywa pombe za bure. Jihadharini sana vijana, chapeni kazi, hali ya maisha ni ngumu sana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
-
ZAMANI nilikuwa nikiskia mtu analalamika kaibiwa wimbo au kaibiwa njia. Nilikuwa naona ni kama maigizo na mtu kutafuta kick ya kupandia ....
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
No comments:
Post a Comment