Thursday, September 6, 2012
Tume ya kukusanya maoni imeendelea kukusanya maoni kuhusu katiba wilayani kasulu mkoani Kigoma. Baadhi ya maoni yaliyotolewa na wakazi wa Kasulu ni pamoja na Kupunguza madaraka ya raisi, Isiwepo mahakama ya Kadhi na Jumuia ya waislam OIC, Asiwepo mkuu wa wilaya, Kuwepo serikali ya majimbo na kuwepo kwa Uhuru wa dini nchini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
Jitihada za kurejesha heshima kwa viwanja vya ndege nchini zilizoanzishwa na waziri wa uchukuzu Dk. Harisson Mwakyembe zinaonekana kuzaa ...
-
TCRA yawatoa hofu wenye TV zenye matumbo:MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA) imewataka Watanzania waepuke uvumi wa watu wachache wanaodai kuwa ...
-
-
No comments:
Post a Comment