Thursday, September 6, 2012
Tume ya kukusanya maoni imeendelea kukusanya maoni kuhusu katiba wilayani kasulu mkoani Kigoma. Baadhi ya maoni yaliyotolewa na wakazi wa Kasulu ni pamoja na Kupunguza madaraka ya raisi, Isiwepo mahakama ya Kadhi na Jumuia ya waislam OIC, Asiwepo mkuu wa wilaya, Kuwepo serikali ya majimbo na kuwepo kwa Uhuru wa dini nchini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
-
Majuto anasema kuwa ana watoto tisa ingawa hakuwa tayari kuwazungumzia mama wa watoto hao zaidi ya kumwongelea mkewe wa sasa, A...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Basi hili la Kampuni ya Abood lililokuwa lilisafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Tunduma mkoani Mbeya, lilimepata ajali kat...
No comments:
Post a Comment