Wednesday, September 26, 2012
Okwi kuikosa mechi ya Simba na Yanga. Shirikisho la soka nchini TFF, limethibitisha adhabu ya Emmanuel Okwi ya kuikosa mechi ya Simba na Yanga itakayochezwa Oct 3. Hii ni baada ya Okwi kupewa kadi nyekundu katika mchezo dhidi ya JKT Ruvu. Afisa habari wa shirikisho hilo Bw Boniface Wambura amesema "Okwi atakosa jumla ya mechi tatu ikiwemo ya oct 3, pia atalipa faini ya laki tano"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Picha za Rick Ross alivyoingia Dar (milard ayo) Huyu Rick Ross wa bongo alinichekesha sana manake alijitokeza kusikojulikana wakati wat...
-
HAWA NI WANAFUNZI WA MIPANGO WANAOUNDA TIMU YA VOLLEYBALL HAPA NI KATIKA MAANDALIZI YA AWALI AMBAPO BAADA YA MCHEZO WAMESHINDA SET 4...
-
1 Tukio la tetemeko: Tarehe 10/09/2016 saa 9 na dakika 27 mchana kumetokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Kitovu cha teteme...
-
Wakazi wa mji mmoja wa kusini mwa Somalia wamesema raia wanane waliuwawa katika jaribio lilofanywa...
No comments:
Post a Comment