Saturday, September 15, 2012
Maoni ya wadau mbalimbali walipokutana na Tume ya kukusanya maoni kuhusu katiba mpya haya hapa. Kuweka kipengere cha kupiga marufuku taraka katika ndoa, Kuruhusu matumizi ya bangi kama sigara nyingine, Kuwaendeleza vijana waliomaliza elimu ya msingi na kushindwa kuendelea, Kila raia mwenye umri kuanzia miaka 18 na kuendelea kulipwa kiwango flani cha mshahara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha waombolezaji wakati wa mazishi ya Askofu Moses Kulola leo. Mtoto wa Marehemu Asko...
-
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
No comments:
Post a Comment