Monday, September 10, 2012
Kumbukumbu za kihistoria leo tar 11 septemba. 1853-Simu ya kutumia umeme ilitumika kwa mara ya kwanza. 1875-Gazeti la kwanza la cartoon liliandikwa. 1885-Moses Hopkins alitajwa kuwa Waziri wa Liberia. 1888-Mwanasiasa mkongwe nchini Algentina Domingo Sarmiento aliuawa. 1895-Kombe la ligi kuu FA, liliibiwa huko Birmingham.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha waombolezaji wakati wa mazishi ya Askofu Moses Kulola leo. Mtoto wa Marehemu Asko...
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
-
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
No comments:
Post a Comment