Tuesday, September 4, 2012
Hili ndilo tamko la Chadema kuhusu kifo cha mwandishi wa habari David Mwangosi huko iringa. John Mnyika ameitaka serikali kuwasimamisha kazi Askari wote waliohusika kurusha bomu lililosababisha kifo cha mwandishi huyo pindi uchunguzi unapoendelea. Waandishi wa habari nao mkoani Mbeya wameahidi kutoandika taarifa yoyo inayoihusu jeshi la Polisi hadi hapo uchunguzi utakapokamilika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
MTUHUMIWA ANAETAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA WIZI WA MTOTO MAMA MZAZI WA MTOTO ALIYEIBIWA BABA MZAZI ANAYETUHUMIWA KWA W...
-
Kuelekea shoo maalumu ya Miaka 13, ya mwanamuziki nguli wa bongo fleva nchini na kiongozi wa bendi yenye msisimko mkubwa ya ‘Machozi Ban...
-
-
No comments:
Post a Comment