Tuesday, September 4, 2012
Hili ndilo tamko la Chadema kuhusu kifo cha mwandishi wa habari David Mwangosi huko iringa. John Mnyika ameitaka serikali kuwasimamisha kazi Askari wote waliohusika kurusha bomu lililosababisha kifo cha mwandishi huyo pindi uchunguzi unapoendelea. Waandishi wa habari nao mkoani Mbeya wameahidi kutoandika taarifa yoyo inayoihusu jeshi la Polisi hadi hapo uchunguzi utakapokamilika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Jitihada za kurejesha heshima kwa viwanja vya ndege nchini zilizoanzishwa na waziri wa uchukuzu Dk. Harisson Mwakyembe zinaonekana kuzaa ...
-
TCRA yawatoa hofu wenye TV zenye matumbo:MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA) imewataka Watanzania waepuke uvumi wa watu wachache wanaodai kuwa ...
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
-
No comments:
Post a Comment