Monday, September 10, 2012
Baada ya vuta nikuvute kati ya jeshi la polisi na waandishi wahabari jijini Dar, sasa waandishi wa habari waruhusiwa kufanya maandamano hapo kesho. Kamanda wa polisi Suleiman Kova amethibitisha kuwepo kwa maandamano. Maandamano hayo ni ya kupinga mauaji ya mwandishi Daud Mwangosi yaliyotokea wiki iliyopita huko iringa. Kilele cha maandamano hayo itakuwa katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
-
Majuto anasema kuwa ana watoto tisa ingawa hakuwa tayari kuwazungumzia mama wa watoto hao zaidi ya kumwongelea mkewe wa sasa, A...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Basi hili la Kampuni ya Abood lililokuwa lilisafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Tunduma mkoani Mbeya, lilimepata ajali kat...
No comments:
Post a Comment