Wednesday, August 15, 2012
Mbunge wa Mwanza Bw Andrew Chenge amewaomba wabunge wote kujadili na kuweka wazi ni lugha ipi itumike katika kufundishia shule za msingi. Amesema kuwa lugha ya kiswahili ndio inayotumika kwa sasa lakini viongozi na wabunge wanaoipa lugha hiyo kipaumbele bado wanawapeleka watoto wao katika shule zinazofundisha kiingereza tu. Chenge ameongeza kuwa hali kama hii inasababisha matabaka ya kielimu katika jamii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha waombolezaji wakati wa mazishi ya Askofu Moses Kulola leo. Mtoto wa Marehemu Asko...
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
-
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
No comments:
Post a Comment