Wednesday, August 15, 2012
Kambi ya upinzani Bungeni imeiomba serikali kuwaanika mawaziri ambao wamefisha mabilioni ya pesa nchini Uswis. Waziri kivuli wa fedha kutoka chama cha maendeleo na demokrasia (chadema) bw Zitto Kabwe amesema jana bungeni kuwa sh 315.5 bilion imewekwa katika benki nchini Uswis. Aliongeza kuwa Benk ya Uswis ilipotoa repoti Juni mwaka huu, ilionesha kuwa bil315.5 kufichwa nje na mawaziri na akiwemo kiongo wa ngazi ya juu serikalini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha waombolezaji wakati wa mazishi ya Askofu Moses Kulola leo. Mtoto wa Marehemu Asko...
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
-
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
No comments:
Post a Comment