Wednesday, August 15, 2012

Kambi ya upinzani Bungeni imeiomba serikali kuwaanika mawaziri ambao wamefisha mabilioni ya pesa nchini Uswis. Waziri kivuli wa fedha kutoka chama cha maendeleo na demokrasia (chadema) bw Zitto Kabwe amesema jana bungeni kuwa sh 315.5 bilion imewekwa katika benki nchini Uswis. Aliongeza kuwa Benk ya Uswis ilipotoa repoti Juni mwaka huu, ilionesha kuwa bil315.5 kufichwa nje na mawaziri na akiwemo kiongo wa ngazi ya juu serikalini.

No comments:

Zilizosomwa zaidi