Farajadogeje.blogspot.com

*Wasiliana nasi: Simu : 0713-914 416 , E-mail: fdogeje@gmail.com

Pages

  • Home
  • National/Local
  • Sports & Intertainment
  • Bussiness
  • Photos

TANGAZA NASI HAPA

TANGAZA NASI HAPA

Thursday, December 3, 2015

MAHAKAMA YAFUTA KESI YA LIPUMBA

Kesi iliyokuwa inamkabiri mwenyekiti wa zamani wa chama cha CUF Pro Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila kibali, imefutwa leo hii katika Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam, Kesi hiyo ambayo ilikuwa isomwe Jan. 15.2016, ilirudishwa nyuma na kusikilizwa leo asubuhi ambapo maamuzi ya kufuta kesi hiyo yametolewa rasmi.

Posted by farajadogeje.blogspot.com at 12:33:00 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Zilizosomwa zaidi

  • HABARI KUU KWENYE KURASA ZA MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 13 SEPTEMBER
  • HOTUBA YA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA MHE. SAMUEL SITTA KATIKA KUFUNGUA AWAMU YA PILI YA BUNGE HILO, DODOMA LEO TAREHE 5 AGOSTI 2014
    Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyez...
  • ITAZAME HAPA VIDEO YA BE-BLACK FT EDDO "ACHA DHARAU"
  • MAWAZIRI NA WABUNGE WAITWA DAR
    Rais Jakaya Kikwete RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kuipanga upya safu ya Baraza lake la Mawaziri wakati wowote, huku baadhi y...
  • SIKU YA KUCHAGUA MABARAZA HADI APRIL 5
    Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeongeza siku mbili za kupiga kura ya kuchagua wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya, zoezi ambalo awali ...

Jiunge nasi katika facebook

BLOG YETU

BLOG YETU


Blog Archive

About Me

farajadogeje.blogspot.com
View my complete profile
faraja. Watermark theme. Powered by Blogger.