Kesi iliyokuwa inamkabiri mwenyekiti wa zamani wa chama cha CUF Pro Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila kibali, imefutwa leo hii katika Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam, Kesi hiyo ambayo ilikuwa isomwe Jan. 15.2016, ilirudishwa nyuma na kusikilizwa leo asubuhi ambapo maamuzi ya kufuta kesi hiyo yametolewa rasmi.Thursday, December 3, 2015
MAHAKAMA YAFUTA KESI YA LIPUMBA
Kesi iliyokuwa inamkabiri mwenyekiti wa zamani wa chama cha CUF Pro Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila kibali, imefutwa leo hii katika Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam, Kesi hiyo ambayo ilikuwa isomwe Jan. 15.2016, ilirudishwa nyuma na kusikilizwa leo asubuhi ambapo maamuzi ya kufuta kesi hiyo yametolewa rasmi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyez...
-
-
Rais Jakaya Kikwete RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kuipanga upya safu ya Baraza lake la Mawaziri wakati wowote, huku baadhi y...
-
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeongeza siku mbili za kupiga kura ya kuchagua wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya, zoezi ambalo awali ...
No comments:
Post a Comment