Farajadogeje.blogspot.com

*Wasiliana nasi: Simu : 0713-914 416 , E-mail: fdogeje@gmail.com

Pages

  • Home
  • National/Local
  • Sports & Intertainment
  • Bussiness
  • Photos

TANGAZA NASI HAPA

TANGAZA NASI HAPA

Thursday, December 3, 2015

MAHAKAMA YAFUTA KESI YA LIPUMBA

Kesi iliyokuwa inamkabiri mwenyekiti wa zamani wa chama cha CUF Pro Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila kibali, imefutwa leo hii katika Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam, Kesi hiyo ambayo ilikuwa isomwe Jan. 15.2016, ilirudishwa nyuma na kusikilizwa leo asubuhi ambapo maamuzi ya kufuta kesi hiyo yametolewa rasmi.

Posted by farajadogeje.blogspot.com at 12:33:00 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Zilizosomwa zaidi

  • TAFAKARI NA HII
  • Godbless Lema amtaka Dr Wilibrod Slaa kugombea ubunge Arusha mjini.
  • Mwanza nao waja na wimbo wao unaokwenda kwa jina la Mwanza All Star. Hii ni baada ya wasanii kutoka mkoani Kigoma kupiga wimbo wao Leka dutigite, basi wasanii jijini mwanza akiwemo Sajna, Kulea, King Fenya na wengine kupitia Mbunda records, nao wamekuja na wimbo wao.
  • BREAKING NEWS
    Yale maandaaamano yaliyokuwa yaamepangwa kufanywa  na waandishi wa habari,yamepigwa marufuku kwa madai kuw hayakufuata utaratibu. ...
  • Mgogoro wa mpaka unaoendelea kati ya Tanzania na Malawi, umewafanya Wamalawi kujaa katika ubarozi Dar

Jiunge nasi katika facebook

BLOG YETU

BLOG YETU


Blog Archive

About Me

farajadogeje.blogspot.com
View my complete profile
faraja. Watermark theme. Powered by Blogger.