Tuesday, December 1, 2015

AJARI YAUA ZAIDI YA 32

Zaidi ya watu 32 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali baada ya basi la abilia la kampuni nya TAQ BIR lililokuwa linaelekea Mwanza kutokea jijinin Dar es salaam kugongana uso kwa uso na Lori eneo la shelui Singida usiku wa kuamkia leo.
 


No comments:

Zilizosomwa zaidi