Tuesday, July 21, 2015

WASANII WAWILI CHIPUKIZI KUPELEKWA STUDIO BURE...

Baada ya maombi mengi kutoka kwa vijana wanaopenda mziki wa kizazi kipya kutaka kupata msaada wa kupelekwa studio kurekodi nyimbo, sasa hii ni habari njema..
Fahari Enterprenurshiop Association (FEA) ikishirikiana na farajadogeje.blogspot.com
wenye ofisi zao jijini Mwanza, Inahitaji vijana wawili chipukizi katika mziki wa bongo fleva ili kuwapeleka studio kurekodi wimbo mmoja mmoja.
Wasanii kutoka kanda ya ziwa watapewa kipaumbele zaidi.
Kama wewe ni mwanamziki chipukizi na unajiamini katika mziki nitafute ili kupata maelezo na maelekezo zaidi kuhusu hii kwa namba yangu 
0713-914416
Mkurugenzi mtendaji wa farajadogeje.blogspot.com

Angalizo: Hakuna gharama yoyote itakayomhusu msanii atakayepata nafasi hii.

No comments:

Zilizosomwa zaidi