
Tatizo kwa mauajin yanayotokea Kenya sio kushindwa kazi kwa Kimaiyo bali ni majeshi ya Kenya yaliyopo Somalia.
'Kama Majeshi ya Kenya yatabakia Somalia kupigana vita ya kutafuta mkia
wa nyoka wakati kichwa cha nyoka kiko Mombasa kwenye misikiti
iliyofungwa kisha ikafunguliwa huko ni kujaza maji kwenye gunia na sioni
yakijaa" Munishi .
Ili Kenyatta kutatua tatizo ambalo ni kubwa zaidi kutokea nchini humo ni KUTOA MAJESHI SOMALIA
Ili Kenyatta kutatua tatizo ambalo ni kubwa zaidi kutokea nchini humo ni KUTOA MAJESHI SOMALIA
No comments:
Post a Comment