Baada ya tukio lililotokea juzi la majambazi
kuvamia kituo cha polisi wilayani Bukombe na kuua askari wawili, tayari
jeshi la polisi limeanza msako na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya
SMG 8, Pump action 1 na mtuhumiwa mmoja mwenyeji wa Tanga.
Bado polisi wanaendelea na upelelezi na kuahidi kuwa Wote waliohusika
katika tukio hilo Watapatikana muda si mrefu kuanzia sasa. Toeni taarifa
kituo cha polisi kilicho karibu mara tu mnapomtilia mashaka mtu yeyote
unayemhisi au kuwa na wasiwasi naye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Lambert and Rooney scored for England in Miami. Mind your backs Phil Jones and Chris Smalling's chan...
-
Katibu Mkuu wa CCM Abd...
-
-
...
No comments:
Post a Comment