Baada ya tukio lililotokea juzi la majambazi
kuvamia kituo cha polisi wilayani Bukombe na kuua askari wawili, tayari
jeshi la polisi limeanza msako na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya
SMG 8, Pump action 1 na mtuhumiwa mmoja mwenyeji wa Tanga.
Bado polisi wanaendelea na upelelezi na kuahidi kuwa Wote waliohusika
katika tukio hilo Watapatikana muda si mrefu kuanzia sasa. Toeni taarifa
kituo cha polisi kilicho karibu mara tu mnapomtilia mashaka mtu yeyote
unayemhisi au kuwa na wasiwasi naye.Sunday, September 7, 2014
POLISI WAKAMATA BUNDUKI 8 BAADA YA MAJAMBAZI KUTEKA KITUO CHA POLISI
Baada ya tukio lililotokea juzi la majambazi
kuvamia kituo cha polisi wilayani Bukombe na kuua askari wawili, tayari
jeshi la polisi limeanza msako na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya
SMG 8, Pump action 1 na mtuhumiwa mmoja mwenyeji wa Tanga.
Bado polisi wanaendelea na upelelezi na kuahidi kuwa Wote waliohusika
katika tukio hilo Watapatikana muda si mrefu kuanzia sasa. Toeni taarifa
kituo cha polisi kilicho karibu mara tu mnapomtilia mashaka mtu yeyote
unayemhisi au kuwa na wasiwasi naye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
No comments:
Post a Comment