Baada ya tukio lililotokea juzi la majambazi
kuvamia kituo cha polisi wilayani Bukombe na kuua askari wawili, tayari
jeshi la polisi limeanza msako na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya
SMG 8, Pump action 1 na mtuhumiwa mmoja mwenyeji wa Tanga.
Bado polisi wanaendelea na upelelezi na kuahidi kuwa Wote waliohusika
katika tukio hilo Watapatikana muda si mrefu kuanzia sasa. Toeni taarifa
kituo cha polisi kilicho karibu mara tu mnapomtilia mashaka mtu yeyote
unayemhisi au kuwa na wasiwasi naye.Sunday, September 7, 2014
POLISI WAKAMATA BUNDUKI 8 BAADA YA MAJAMBAZI KUTEKA KITUO CHA POLISI
Baada ya tukio lililotokea juzi la majambazi
kuvamia kituo cha polisi wilayani Bukombe na kuua askari wawili, tayari
jeshi la polisi limeanza msako na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya
SMG 8, Pump action 1 na mtuhumiwa mmoja mwenyeji wa Tanga.
Bado polisi wanaendelea na upelelezi na kuahidi kuwa Wote waliohusika
katika tukio hilo Watapatikana muda si mrefu kuanzia sasa. Toeni taarifa
kituo cha polisi kilicho karibu mara tu mnapomtilia mashaka mtu yeyote
unayemhisi au kuwa na wasiwasi naye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Bibi Silvana Nhungwe akivuna zabibu katika shamba la Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda lililopo eneo la Zuzu mjini Dodoma Septemba 11...
-
Yanga imemponza mwamuzi, Martin Saanya wa Morogoro aliyechezesha mechi yao na Coastal Union ambaye amefungiwa mwaka mmoja kwa kuchezesha ...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
-
Shirika la Fedha duniani, IMF, limesema uchumi wa Tanzania unaendelea kuimarika huku pato la taifa kwa mwaka 2012 likitarajiwa kukua ka...
No comments:
Post a Comment