Maisha
ni Hatua.. Nafkiri kwa mwaka huu ile ndio ilikuwa hatua yetu kwa
MTV...Cha muhimu ni kujua wapi tulipokua mwaka jana na wapi tulipo
leo... pia kujifunza na kujua ni nini cha kuongeza zaidi ili Next tym
tuzidi kufanya vyema.... Shukrani zangu nyingi ziende kwa Mashabiki
wote,Management, Media,Family, wasanii na wadau Mbalimbali kwani kwa
nguvu zao ndio zimefanya leo kunisogeza toka sehem moja kwenda
nyingine...Next stop #BET!!!... Asante sana #Sheriangoi kwa Suti Hii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Lambert and Rooney scored for England in Miami. Mind your backs Phil Jones and Chris Smalling's chan...
-
-
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila 'RAY C' akimshukuru Rais Kikwete kwa msaada wa matibabu aliom...
-
No comments:
Post a Comment