






Barabara ya Goba ikiwa imeharibika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Maji yakitiririka kwa kasi katika Mto Mbezi eneo la Bondeni...
Vijana wakitumia fursa vizuri kwa kujipatia mchanga unaotiririshwa na maji ambapo huwauzia madereva wa maroli.
Hivyo ndivyo hali ilivyo kwasasa
katika eneo hilo la daraja la matumbi lililopo barabara ya mandela
ubungo kwelekea buguruni imetanganishwa hivyo kwa daraja hilo
kukatika kwasababu ya maji yanaopita eneohilo la daraja kuzidi nguvu
nguzo za daraja hilo na kulipelekuea kukatika.
Huruma sana kwa wakazi wa jiji hilo.
No comments:
Post a Comment