Mwanamuziki
Diamond Platnum akimkabidhi funguo ya gari aina ya Toyota Funcargo
mwanamuziki mkongwe nchini mzee Muhidin Gurumo kama zawadi yake kwa
mkongwe huyo wa muziki baada ya kustaafu rasmi kuimba muziki, Diamond
alitoa zawadi hiyo kwa Gurumo katika hafla yake ya uzinduzi wa video
yake mpya ya wimbo Nomber One aliyoirekodi huko Afrika Kusini ikigharimu
kiasi cha dola elfu 30.000 zaidi ya milioni arobaini za Tanzania, Video
hiyo imetengenezwa kwa viwango vya kimataifa na itaweza kumtangaza
vyema kijana huyo wa kitanzania katika ulimwengu wa muziki hasa
kimataifa, Hafla hiyo imefanyika kwenye hoteli ya Serena Dar es salaam
na imehudhuriwa na wasanii pamoja na waigizaji wa filamu na watu maarufu
mbalimbali
Mzee
Muhidin Gurumo akimshukuru Diamond kwa kumzawadia gari jambo ambalo
kwake ni kama ndoto kwakuwa amestaafu akiwa hana usafiri “Yaani sijui
hata mke wangu nikimwambia atanielewaje manake ni jambo la kushangaza
kwangu” Alisema mzee Gurumo
Diamond akimuongoza mzee Gurumo kwenda kumuonyesha gari
Diamond akimuonyesha Mzee Gurumo gari
Akimuelekeza jambo baada ya mzee Gurumo kuingia kwenye gari
Diamond akizungumza machache kushukuru mashabiki wake na watu mbalimbali waliomsaidia kufikia hapo alipo
Diamond na madansa wake wakitumbuiza katika hafla hiyo
Wasanii mbalimbali pamoja na MaDJ walikuwepo katika hafla hiyo hapa ni Dully Sykes na MawanaFA wakiwa na baadhi ya MaDJ
Maurice
Njowoka kutoka Cocacola wa pili kutoka kushoto na Mwanamuziki AY wa
tatu kutoka kushoto pamoja na wadau wengine wakiwa katika hafla hiyo
Diamond na madansa wake wakitumbuiza katika hafla hiyo
Wasanii mbalimbali pamoja na MaDJ walikuwepo katika hafla hiyo hapa ni Dully Sykes na MawanaFA wakiwa na baadhi ya MaDJ
Maurice
Njowoka kutoka Cocacola wa pili kutoka kushoto na Mwanamuziki AY wa
tatu kutoka kushoto pamoja na wadau wengine wakiwa katika hafla hiyo
Mwigizaji Jaquiline Wolper naye alitia timu
Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka akiwa na mama yake Diamond
Wadau mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo
Mzee Gurumo akihojiwa na waandishi wa habari
Hawa
marafiki zangu wakakumbushia miaka kadhaa waliyofunga ndoa kwa
kulishana mishikaki ilipendeza katikati ni Nancy Sumari akishuhudia
Kulia ni Irene Uwoya kushoto Salma Msangi
Kushoto AY na Salama Jabir wakipiga story na wadau mbalimbali
Kutoka kulia ni Raymond Kigosi, Irene Uwoya na JB wakiwa katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka akiwa na mama yake Diamond
Wadau mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo
Mzee Gurumo akihojiwa na waandishi wa habari
Hawa
marafiki zangu wakakumbushia miaka kadhaa waliyofunga ndoa kwa
kulishana mishikaki ilipendeza katikati ni Nancy Sumari akishuhudia
Kulia ni Irene Uwoya kushoto Salma Msangi
Kushoto AY na Salama Jabir wakipiga story na wadau mbalimbali
Kutoka kulia ni Raymond Kigosi, Irene Uwoya na JB wakiwa katika hafla hiyo.
No comments:
Post a Comment