ya kuwa wanawake wamepewa fursa za wazi kabisa kisheria katika
kumiliki ardhi, bado umiliki wa ardhi ni mdogo sana nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo wakati wa semina ya Chama Cha Wanawake
nchini (TAWLA) juu ya umiliki wa ardhi kwa wanawake na uwekezaji
iliyofanyika jijini Dar es salaam.
Naibu waziri huyo amesema kutokana na muamko mdogo wa wanawake
kumiliki ardhi kwa kiasi cha juu, ndio kunawafanya washindwe kutumia
fursa za kisheria za kumiliki ardhi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Mvua kubwa iliyonyesha jana jijini Dar es Salaam, ilisababisha mafuriko makubwa katika baadhi ya maeneo, hivyo nyumba kadhaa kujaa maji n...
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
Baada ya kutumikia adhabu ya kutohudhuria vikao vitano vya Bunge, wabunge watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana wa...
-
FT Birmingham City 3 - 1 Swansea City FT Manchester United 1 - 0 Liverpool FT Newcastle United 2 - 0 Leeds United FT Tranmere Rovers 0...
-
Baadhi ya viongozi wa Dini ya Kiislam na Kikristo kutoka Geita wamekaa pamoja na kuondoa tofauti zao hususan katika suala la uchinjaji wa ...
No comments:
Post a Comment