ya kuwa wanawake wamepewa fursa za wazi kabisa kisheria katika
kumiliki ardhi, bado umiliki wa ardhi ni mdogo sana nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo wakati wa semina ya Chama Cha Wanawake
nchini (TAWLA) juu ya umiliki wa ardhi kwa wanawake na uwekezaji
iliyofanyika jijini Dar es salaam.
Naibu waziri huyo amesema kutokana na muamko mdogo wa wanawake
kumiliki ardhi kwa kiasi cha juu, ndio kunawafanya washindwe kutumia
fursa za kisheria za kumiliki ardhi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
Kiongozi wa waasi wa M23, Bertrand Bisimwa Wito uliotolewa na viongozi wa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu wa kuitaka S...
-
WAKATI kikao cha wadau wa ulinzi kinatarajia kufanyika kesho jumanne mkoani Iringa katika ukumbi wa Siasa ni kilimo kikao kinacholeng...
No comments:
Post a Comment