ya kuwa wanawake wamepewa fursa za wazi kabisa kisheria katika
kumiliki ardhi, bado umiliki wa ardhi ni mdogo sana nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo wakati wa semina ya Chama Cha Wanawake
nchini (TAWLA) juu ya umiliki wa ardhi kwa wanawake na uwekezaji
iliyofanyika jijini Dar es salaam.
Naibu waziri huyo amesema kutokana na muamko mdogo wa wanawake
kumiliki ardhi kwa kiasi cha juu, ndio kunawafanya washindwe kutumia
fursa za kisheria za kumiliki ardhi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Mauaji ya kikatili yametokea usiku wa kuamkia leo wilayani Bunda, mkoani Mara baada ya wa...
-
...
-
-
Timu Chz Pts Simba SC 13 28 Young Africans 13 27 Azam FC 13 22 JKT Oljoro 12 22 Mtibwa Sugar 13 22 JKT Ruv...
No comments:
Post a Comment