*Wasiliana nasi: Simu : 0713-914 416 , E-mail: fdogeje@gmail.com
Pages
Home
National/Local
Sports & Intertainment
Bussiness
Photos
TANGAZA NASI HAPA
Wednesday, March 20, 2013
RAIS OBAMA ATEMBELEA ISRAEL KWA MARA YA KWANZA.
Rais Barack Obama amewasili nchini Israel ikiwa ni ziara yake ya kwanza kama rais wa Marekani.
Wakati alikiwasili, waandamanaji walikusanyika na ulinzi kuimarishwa nchini Israel na katika maeneo ya Palestina.
Obama anategemewa kukutana na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina Mahmoud Abbas wakati wa ziara yake ya siku tatu.
Mambo makuu yaliyomfanya afanye ziara hiyo ni vita nchini Syria na wasiwasi kuhusu nia za Iran za kinyuklia
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
TAARIFA KUTOKE JESHI LA WANANCHI JWT KUHUSIANA NA M23
Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania, Meja Eric Komba akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam...
GHOROFA NA PPF TOWER DAR ES SALAAM LAUNGUA MOTO...
Chanzo cha moto huo bado hakijaripotiwa, Lakini Meya Ilala Mh. Jerry Slaa amesema jengo PPF liko salama, chumba cha mitambo ya mawasi...
TAFAKARI NA HII
HII NI KALI YA KUFUNGA MWAKA: MAHARI YASABABISHA NDOA ISIFUNGWE , WAUMINI NA MCHUNGAJI WAKESHA KANISANI MBEYA
Bwana Harusi Fadhili Mahenge akiwa ndani ya Suti akisubiri kufungishwa ndoa Bi Harusi Naomi Ngoje akiwa amejilalia chumbani akis...
KAMA VITUKO, HIKI NACHO KIMO.
No comments:
Post a Comment