*Wasiliana nasi: Simu : 0713-914 416 , E-mail: fdogeje@gmail.com
Pages
Home
National/Local
Sports & Intertainment
Bussiness
Photos
TANGAZA NASI HAPA
Wednesday, March 20, 2013
RAIS OBAMA ATEMBELEA ISRAEL KWA MARA YA KWANZA.
Rais Barack Obama amewasili nchini Israel ikiwa ni ziara yake ya kwanza kama rais wa Marekani.
Wakati alikiwasili, waandamanaji walikusanyika na ulinzi kuimarishwa nchini Israel na katika maeneo ya Palestina.
Obama anategemewa kukutana na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina Mahmoud Abbas wakati wa ziara yake ya siku tatu.
Mambo makuu yaliyomfanya afanye ziara hiyo ni vita nchini Syria na wasiwasi kuhusu nia za Iran za kinyuklia
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
Ile tabia ya abiria kujisaidi wakati wa safari maarufu kama kuchimba dawa, imekuwa ikisababisha uchafuzi wa mazingira hali ambayo sasa inapigwa vita na Serikali. Kufikia octoba mwaka huu hakuna gari litakalokuwa linasimama porini ili abiria wake wachimbe dawa. Hivyo abilia katika barabara ya Dar, Morogoro, Dodoma, Singida hadi Mwanza, wameiomba serikali kuchukua jukumu la kujenga vyoo barabarani. Wameshauri ni bora vyoo hivyo vikajengwa kila baada ya kilometa 150.
ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA WANAWAKE WENGI KUTOKUSHIKA MIMBA
Mwanamke kutoshika mimba kumegawanyika katika makundi makubwa mawili. Kwanza ni hali iitwayo ‘primary Infertility’ ambapo ...
HABARI HII IMEANDIKWA NA GAZETI LA MWANANCHI, RWANDA NA UGANDA WAJITOA BANDARI YA DAR ES SALAAM
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
Richa ya kuwa mashindano ya riadha yamekamilika na kufungwa hapo jana katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam, changamoto mbalimbali zimeweza kujitokeza katika kipindi chote cha mashindano. Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa vifaa ambapo iliwalazimu washiri kukimbi bila kuvaa viatu na wanawake kuvaa sketi badala ya bukta za kiriadha. Hii ni kwa jinsi gani serikali na wizara ya michezo kushindwa kuandaa mashindano haya kikamilifu. Ni vizuri kwa mashindano yajayo kuandaliwa vizuri ili kuukuza mchezo huv wa riadha.
HII NDIO HALI HALISI YA DAR BAADA YA MAFUTA KUSHUKA BEI.
KUSHUKA kwa bei ya mafuta ya petroli na dizeli, kumepata taswira mpya jijini Dar es Salaam kwa jinsi mafuta hayo, yanavyoendelea kuwa ke...
No comments:
Post a Comment