*Wasiliana nasi: Simu : 0713-914 416 , E-mail: fdogeje@gmail.com
Pages
Home
National/Local
Sports & Intertainment
Bussiness
Photos
TANGAZA NASI HAPA
Wednesday, March 20, 2013
RAIS OBAMA ATEMBELEA ISRAEL KWA MARA YA KWANZA.
Rais Barack Obama amewasili nchini Israel ikiwa ni ziara yake ya kwanza kama rais wa Marekani.
Wakati alikiwasili, waandamanaji walikusanyika na ulinzi kuimarishwa nchini Israel na katika maeneo ya Palestina.
Obama anategemewa kukutana na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina Mahmoud Abbas wakati wa ziara yake ya siku tatu.
Mambo makuu yaliyomfanya afanye ziara hiyo ni vita nchini Syria na wasiwasi kuhusu nia za Iran za kinyuklia
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
HUU NDIO MSIMAMO LIGI KUU UINGEREZA
picha na Riziki Mashaka.
HUYU NDIO BINADAMU MWEUSI KULIKO WOTE DUNIANI !.
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
Kuchangia maoni katika kuunda katiba mpya ni jukumu la kila mtanzania. Shiriki kikamilifu uone thamani ya mchango wako.
PICHA ZA AJALI YA BASI LA ABOOD WILAYANI MUFINDI HAPO JANA
Basi hili la Kampuni ya Abood lililokuwa lilisafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Tunduma mkoani Mbeya, lilimepata ajali kat...
TAFAKARI NA HII
No comments:
Post a Comment