*Wasiliana nasi: Simu : 0713-914 416 , E-mail: fdogeje@gmail.com
Pages
Home
National/Local
Sports & Intertainment
Bussiness
Photos
TANGAZA NASI HAPA
Wednesday, March 20, 2013
RAIS OBAMA ATEMBELEA ISRAEL KWA MARA YA KWANZA.
Rais Barack Obama amewasili nchini Israel ikiwa ni ziara yake ya kwanza kama rais wa Marekani.
Wakati alikiwasili, waandamanaji walikusanyika na ulinzi kuimarishwa nchini Israel na katika maeneo ya Palestina.
Obama anategemewa kukutana na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina Mahmoud Abbas wakati wa ziara yake ya siku tatu.
Mambo makuu yaliyomfanya afanye ziara hiyo ni vita nchini Syria na wasiwasi kuhusu nia za Iran za kinyuklia
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
HABARI KUBWA ZILIZOSHEHENI KWA MAGAZETI YA LEO JUMATATU 20 JAN 2014.....
HABARI KUBWA KWA KURASA ZA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS 7 AUGUST 2104
VIKONGWE WATATU WAUAWA KIKATILI KWA KUCHOMWA MOTO HUKO BUNDA....ISOME HAPA.
Mauaji ya kikatili yametokea usiku wa kuamkia leo wilayani Bunda, mkoani Mara baada ya wa...
HABARI KUBWA KWA KURASA ZA MAGAZETI YA LEO TAR 27/08/2014
HUU NDIO MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA
Timu Chz Pts Simba SC 13 28 Young Africans 13 27 Azam FC 13 22 JKT Oljoro 12 22 Mtibwa Sugar 13 22 JKT Ruv...
No comments:
Post a Comment