*Wasiliana nasi: Simu : 0713-914 416 , E-mail: fdogeje@gmail.com
Pages
Home
National/Local
Sports & Intertainment
Bussiness
Photos
TANGAZA NASI HAPA
Wednesday, March 20, 2013
RAIS OBAMA ATEMBELEA ISRAEL KWA MARA YA KWANZA.
Rais Barack Obama amewasili nchini Israel ikiwa ni ziara yake ya kwanza kama rais wa Marekani.
Wakati alikiwasili, waandamanaji walikusanyika na ulinzi kuimarishwa nchini Israel na katika maeneo ya Palestina.
Obama anategemewa kukutana na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina Mahmoud Abbas wakati wa ziara yake ya siku tatu.
Mambo makuu yaliyomfanya afanye ziara hiyo ni vita nchini Syria na wasiwasi kuhusu nia za Iran za kinyuklia
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
HABARI KUU KWENYE KURASA ZA MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 13 SEPTEMBER
HOTUBA YA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA MHE. SAMUEL SITTA KATIKA KUFUNGUA AWAMU YA PILI YA BUNGE HILO, DODOMA LEO TAREHE 5 AGOSTI 2014
Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyez...
ITAZAME HAPA VIDEO YA BE-BLACK FT EDDO "ACHA DHARAU"
MAWAZIRI NA WABUNGE WAITWA DAR
Rais Jakaya Kikwete RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kuipanga upya safu ya Baraza lake la Mawaziri wakati wowote, huku baadhi y...
SIKU YA KUCHAGUA MABARAZA HADI APRIL 5
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeongeza siku mbili za kupiga kura ya kuchagua wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya, zoezi ambalo awali ...
No comments:
Post a Comment