Mvua kubwa iliyonyesha nchini Indonedia imesababisha vifo vya watu sita na wengine 18 hawajulikani walipo baada ya ardhi kuporomoka katika kisiwa cha Java nchini humo.
Mamia ya polisi, wanajeshi na umma wamekuwa wakichimba magofu wakiwatafuta walionusurika..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
picha na Riziki Mashaka.
-
-
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara ...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...

No comments:
Post a Comment