Wednesday, January 9, 2013

ONGEZEKO LA WATU TANZANIA LIKO HAPA

Matokeo ya Sensa iliyofanyika mwaka 2012 imeonesha jumla ya watu million 44 laki tisa, ishirini na tisa elfu na wawili
Hii imekuwa ni  ongezeko la jumla ya watu millioni 10 na laki tano tangu sensa ilipofanyika ya mwaka 2002.

No comments:

Zilizosomwa zaidi