Tuesday, January 8, 2013

HUYU NDIO MWANDISHI ALIYEUAWA MKOANI KIGOMA

Mwandishi Huyu alitambulika kwa jina la Issa Ngumba, mfanyakazi wa kitu  cha Redio Kwizera yenye makao yake makuu mjini Ngara mkoani Kagera. Ngumba alikuwa akifanya kazi katika wilaya ya Kakonko mkoani kigoma. Mazishi yake yamefanyika jana huko Kakonko

No comments:

Zilizosomwa zaidi