Friday, December 14, 2012

KOFEE OLOMIDE BAADA YA KUTUA DAR, .....KWA PICHA NA STORY ZAIDI INGIA HAPA

Siku ya juma pili atakuwa anafanya shoo ya kijanja zaidi jijini Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba

Picha hapo chini  ni Charles Kofee Olomide pamoja na wacheza shoo wake mara tu baada ya kuwasiri jijini Dar es salaam.

No comments:

Zilizosomwa zaidi