Monday, December 24, 2012

Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Bw Suleiman Kova, amesema jeshi la polisi nchini limejipanga vyema katika kuimarisha ulinzi wakati wa sikuku hizi za Krismass na mwakampya. 'Mtu yeyote atakayepatikana akijihusisha na vitendo vinavyoweza kusababisha vurugu, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

No comments:

Zilizosomwa zaidi