Saturday, December 1, 2012

BENITEZ, ASUASUA CHELSEA

Baada ya Chelsea kukubali kichapo cha magoli 3-1 kutoka kwa  West Ha, kocha wa timu hiyo  Rafael Benitez aonekana kutokubalika kwa asilimia 100. ikumbukwe tu kuwa hiyo ndio match yake ya kwanza kuchezwa tangu alipoingia kuifundisha timu ya Chelsea.
Rafael Benitez is exasperated on the touchline against West Ham

No comments:

Zilizosomwa zaidi