Sunday, October 14, 2012

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI NA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA NA MAENEO JIRANI

Jeshi la police mkoa wa mwanza linawaalika ndugu jamaa na marafiki kuuaga mwili wa marehemu kamanda wa polisi mkoani Mwanza bwana Liberatus Barlow,zoezi hilo litafanyika kesho tarehe 15/10/2012 jmatatu asubuhi kuanzia saa 08:00am (saa mbili asubuhi) hadi saa 01:00pm (saa saba mchana) katika viwanja vya nyamagana jijin mwanza.

No comments:

Zilizosomwa zaidi