Sunday, October 14, 2012
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI NA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA NA MAENEO JIRANI
Jeshi la police mkoa wa mwanza linawaalika ndugu jamaa na
marafiki kuuaga mwili wa marehemu kamanda wa polisi mkoani Mwanza bwana
Liberatus Barlow,zoezi hilo litafanyika kesho tarehe 15/10/2012 jmatatu
asubuhi kuanzia saa 08:00am (saa mbili asubuhi) hadi saa 01:00pm (saa saba
mchana) katika viwanja vya nyamagana jijin mwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Kesi ya mauaji ya marehemu Steven Kanumba inayomkabili mwigizaji wa bongo movie, Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea kutajwa...
-
Utangulizi Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa umma juu ya kuwepo kwa Ugonjwa wa Homa ya Uti wa...
-
-
Meneja wa wafanyakazi wa Ndani ya Ndege wa Kampuni ya ndege ya Fastjet Emma Donovan, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya ...
No comments:
Post a Comment