Wednesday, October 17, 2012

MWENYEKITI MBEYA ANUSURIKA KUUAWA.

MWENYEKITI wa Chama cha Albino Tanzania (TAS) Mkoa wa Mbeya,
Sinzo Dereva (38) ambaye ni mlemavu wa ngozi amenusurika 
 kuuawa baada ya watu watano wasiofahamika kuvamia nyumbani kwake kwa nia ya kumfanyia uhalifu.

No comments:

Zilizosomwa zaidi