MAMLAKA
ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema mvua kubwa zilizotangazwa awali
zinatarajiwa kuanza leo katika mikoa ya ukanda wa pwani.Mamlaka
hiyo imetangaza hali ya hatari katika ukanda huo na kuwataka wananchi
kuondoka katika maeneo hatarishi ya mabondeni ambako maji hukutana.
Hivyo wakazi wa Dar es Salaam na kwingineko wamekuwa na hofu na mvua hizo kwa kuzihofia kutokana na kutangazwa mara kwa mara
Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo tayari wameshamisha familia zao ili kukabilina na tatizo hilo
Hata hivyo hadi kufikia majira ya alasiri ya leo mvua hizo kwa mkoa wa Dar es salaam zilikuwa bado hazijaanza rasmi
Kwa
taarifa iliyoipata nifahamishe zimebaini kuwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Said Meck Sadik ameshajipanga kwa kuweka mikakati kwa
kukabiliana na hatari hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Katibu Mkuu wa CCM Abd...
-
-
...
-
Kundi la kigaidi la Al-Shabaab limetibitisha kuwa kiongozi wao Ahmed Abdi Godane aliuawa siku ya Jumatatu katika shambu...
No comments:
Post a Comment