MAMLAKA
ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema mvua kubwa zilizotangazwa awali
zinatarajiwa kuanza leo katika mikoa ya ukanda wa pwani.Mamlaka
hiyo imetangaza hali ya hatari katika ukanda huo na kuwataka wananchi
kuondoka katika maeneo hatarishi ya mabondeni ambako maji hukutana.
Hivyo wakazi wa Dar es Salaam na kwingineko wamekuwa na hofu na mvua hizo kwa kuzihofia kutokana na kutangazwa mara kwa mara
Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo tayari wameshamisha familia zao ili kukabilina na tatizo hilo
Hata hivyo hadi kufikia majira ya alasiri ya leo mvua hizo kwa mkoa wa Dar es salaam zilikuwa bado hazijaanza rasmi
Kwa
taarifa iliyoipata nifahamishe zimebaini kuwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Said Meck Sadik ameshajipanga kwa kuweka mikakati kwa
kukabiliana na hatari hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
No comments:
Post a Comment