Monday, October 15, 2012

MAUAJI YA KULIPIZA KISASI KENYA.

 
              (Wanachama wa MRC)

Afisaa mmoja nchini Kenya ameuawa katika kile polisi wanachodai kuwa ni shambulizi la kulipiza kisasi kufuatia kukamatwa kwa kiongozi wa vuguvugu la MRC (Mombasa Republican Council) mjini Mombasa, nchini Kenya.
kwa mujibu wa  polisi, Salim Changu ambaye ni naibu chifu wa eneo hilo alinyongwa nyumbani kwake katika eneo la Kwale mjini Mombasa,
Oscar Mwamnuadzi. Alikamatwa baada ya ufyatulianaji risasi katikaeneo la makazi yake ambapo polisi waliwaua watu wawili.

No comments:

Zilizosomwa zaidi