
(Wanachama wa MRC)
Afisaa mmoja
nchini Kenya ameuawa katika kile polisi wanachodai kuwa ni shambulizi la
kulipiza kisasi kufuatia kukamatwa kwa kiongozi wa vuguvugu la MRC
(Mombasa Republican Council) mjini Mombasa, nchini Kenya.
kwa mujibu
wa polisi, Salim Changu ambaye ni naibu chifu wa eneo hilo
alinyongwa nyumbani kwake katika eneo la Kwale mjini Mombasa,
No comments:
Post a Comment