Afisaa mmoja
nchini Kenya ameuawa katika kile polisi wanachodai kuwa ni shambulizi la
kulipiza kisasi kufuatia kukamatwa kwa kiongozi wa vuguvugu la MRC
(Mombasa Republican Council) mjini Mombasa, nchini Kenya.
kwa mujibu
wa polisi, Salim Changu ambaye ni naibu chifu wa eneo hilo
alinyongwa nyumbani kwake katika eneo la Kwale mjini Mombasa,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Ofisi ya Rais wa Rwanda imekanusha vikali uvumi ulioenea nchini humo na nchi ...
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe akitoa ufafanuzi juu ya taarifa yake ya mahesabu y...
-
Mwaka huu shindano la kusaka vipaji vya kuimba maarufu kama Epiq Bongo Star Search litakuwa likioneshwa kupitia TBC1. Kupitia F...
-
Watu wawili wamekutwa wameuawa kikatili mchana wa leo katika matukio mawili tofauti Mkoani Shinyanga Tukio la kwanza linamhusisha k...
No comments:
Post a Comment