- Leo ni siku ya pili ya kambi ya warembo ya Tanzania ambapo mratibu wa masuala ya urembo , Hashimu Lundenga amekutana na warembo thelathini na kutoa tahadhari kwa warembo hao kutojihusisha na vitendo vya utovu wa nidhamu.
Katika siku hii pamoja na suala la kujiepusha na vitendo vya utovu wa nidhamu , pia amesisitiza suala la kuheshimu sheria na kuheshimu mkataba walioingia kati ya kamati hiyo na mrembo husika.
Kambi hii ni ya mwezi mmoja ambapo tamati yake itafikia novemba 5,Mrembo atakayepatikana katika shindano hilo atapata fursa ya
Baadhi ya warembo katika kambi hii mbali na kunyakuwa taji la TANZANIA wengine watanyakuwa taji la vipaji , taji la muonekano mzuri, na taji la mwanamke aliyeng`ara katika michezo.
Mrembo wa Tanzania atashiriki shindano la dunia litakalofanyika mwezi AUGOST mwakani katika mji wa JAKARTA nchini INDONESIA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...

No comments:
Post a Comment