Wednesday, October 3, 2012

Hatimae Simba na Yanga nguvu sawa.

Baada ya mchezo uliochezwa hapo jana kumalizika timu zote zikiwa sare ya bao 1-1, utni wa jadi ndipo ulipodhihirika. Simba ndio likuwa ya kwanza kupaipachika goli timu ya Yanga  na baadae katika kipindi cha pili Yanga wakajipatiaa penat iliyowapatia goli la kusawzisha. Goli la simba lilifungwa na  Amri Kiemba wakati goli ya Yanga lilifungwa na Bahanuzi

No comments:

Zilizosomwa zaidi