Wednesday, October 3, 2012
Hatimae Simba na Yanga nguvu sawa.
Baada ya mchezo uliochezwa hapo jana kumalizika timu zote zikiwa sare ya bao 1-1, utni wa jadi ndipo ulipodhihirika. Simba ndio likuwa ya kwanza kupaipachika goli timu ya Yanga na baadae katika kipindi cha pili Yanga wakajipatiaa penat iliyowapatia goli la kusawzisha. Goli la simba lilifungwa na Amri Kiemba wakati goli ya Yanga lilifungwa na Bahanuzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Bwana Harusi Fadhili Mahenge akiwa ndani ya Suti akisubiri kufungishwa ndoa Bi Harusi Naomi Ngoje akiwa amejilalia chumbani akis...
-
-
...
-
Watu watano wamekufa papo hapo na wengine sita wamejeruhiwa, watatu wakiwa katika hali mbaya baada ya basi la Super Champion kugong...
-
No comments:
Post a Comment