Wednesday, October 3, 2012
Hatimae Simba na Yanga nguvu sawa.
Baada ya mchezo uliochezwa hapo jana kumalizika timu zote zikiwa sare ya bao 1-1, utni wa jadi ndipo ulipodhihirika. Simba ndio likuwa ya kwanza kupaipachika goli timu ya Yanga na baadae katika kipindi cha pili Yanga wakajipatiaa penat iliyowapatia goli la kusawzisha. Goli la simba lilifungwa na Amri Kiemba wakati goli ya Yanga lilifungwa na Bahanuzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...

No comments:
Post a Comment