Wednesday, October 3, 2012
Hatimae Simba na Yanga nguvu sawa.
Baada ya mchezo uliochezwa hapo jana kumalizika timu zote zikiwa sare ya bao 1-1, utni wa jadi ndipo ulipodhihirika. Simba ndio likuwa ya kwanza kupaipachika goli timu ya Yanga na baadae katika kipindi cha pili Yanga wakajipatiaa penat iliyowapatia goli la kusawzisha. Goli la simba lilifungwa na Amri Kiemba wakati goli ya Yanga lilifungwa na Bahanuzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...

No comments:
Post a Comment