Friday, September 7, 2012
Zaidi ya waumini 300 wa dini ya Kiislam wameandamana jijini Dar es salaam. Maandamano ya waumini hao ni kuitaka serikali kuwaachia huru waislamu wote waliokamatwa kwa madai ya kupinga shughuli ya Sensa. Kutokana na kuandamana kwao, tayari serikali imetoa tamko la kuwaachia huru wote waliokuwa wakishikiliwa na jeshi la polisi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
Papa akituma ujumbe wake wa Twitter Papa Benedict wa 16 ametuma ujumbe wake wa kwanza kwenye akaunti yake yaTwitter. Ujumb...
-
-
Anthery Mushi (picha via IPP Media) FAMILIA ya aliyekuwa mzazi mwenzake, Mwandishi wa ITV na Radio One, Ufoo Saro, Anthe...
No comments:
Post a Comment