Friday, September 7, 2012
Zaidi ya waumini 300 wa dini ya Kiislam wameandamana jijini Dar es salaam. Maandamano ya waumini hao ni kuitaka serikali kuwaachia huru waislamu wote waliokamatwa kwa madai ya kupinga shughuli ya Sensa. Kutokana na kuandamana kwao, tayari serikali imetoa tamko la kuwaachia huru wote waliokuwa wakishikiliwa na jeshi la polisi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
No comments:
Post a Comment