Wednesday, September 19, 2012
Wizara ya elimu kweli inachekesha, wanafunzi darasa la saba kujibu mtihani kwa kushedi majibu. Hivi hapa kweli si ndio wale wasiojua kusoma na kuandika watafaulu kuingia kidato cha kwanza.! Hili inabidi kuangaliwa upya na sio kukurupuka tu na mifumo ya ajabuajabu. Hapa ndio wasomi wanaanza kupotea sasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
I. UTANGULIZI: a) Maswali Mhe...
No comments:
Post a Comment