Wednesday, September 19, 2012
Wizara ya elimu kweli inachekesha, wanafunzi darasa la saba kujibu mtihani kwa kushedi majibu. Hivi hapa kweli si ndio wale wasiojua kusoma na kuandika watafaulu kuingia kidato cha kwanza.! Hili inabidi kuangaliwa upya na sio kukurupuka tu na mifumo ya ajabuajabu. Hapa ndio wasomi wanaanza kupotea sasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Msanii maarufu wa Hip...
-
-
-
Arsenal 14 11 1 2 19 34 Chelsea 14 9 3 2 14 30 Man City 14 9 1 4 26 28 Liverpool 14 8 3 3 13 27 Everton 14 7 6 1 9 27 Tott...
No comments:
Post a Comment