Friday, September 7, 2012
WAZO LANGU. Haya makundi mbalimbali vya muziki maarufu kama "Mduara" yanatoa wapi maadili na ujasiri wa watoto wa kike kukata viono hadharani wakiwa wamevalia Khanga moja? Kama ni uhuru basi wasanii Tanzania wamepewa uhuru uliopitiliza hadi kufikia hatua ya wasanii wenyewe kushindwa kujiheshimu. Hivi kizazi cha leo watoto wanajifunza nini kupitia mchezo kama huo? Ni vizuri basi wasanii walioachiwa huru kuhusika katika muziki huo kufuata maadili, kwani kushindwa kwao kufuata maadili kinachofuata ni kujiabisha wenyewe na taifa kwa ujumla. Pia serikali iliangalie suala hili kwa jicho la pili ili kulinusuru taifa katika wimbi hili zito la "Khanga moja ndembendembe".
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Yanga imemponza mwamuzi, Martin Saanya wa Morogoro aliyechezesha mechi yao na Coastal Union ambaye amefungiwa mwaka mmoja kwa kuchezesha ...
-
Jeshi la Polisi la Uturuki limetoa ufadhili wa masomo kwa askari kumi na saba ( 17) wa Jeshi la Polisi Tanzania kupata mafunzo mbal...
-
Bibi Silvana Nhungwe akivuna zabibu katika shamba la Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda lililopo eneo la Zuzu mjini Dodoma Septemba 11...
-
Baghdi DA Sanches Baraka Raphael Dash Mapenzi Mgumuu Bashir Sebbo Dee Young Peace Wengine ambao hatukubahatika...
No comments:
Post a Comment