Thursday, September 20, 2012
Wanafunzi wapatao 4,000 wamekosa mkopo kwa mwaka wa masomo 2012/2013 kutokana na ufinyu wa bajeti. Akiongea kaimu Mkurugenzh wa bodi hiyo Bw. Asangye Bangu amesema jumla ya wanafunzi 49,895 walituma maombi kwa bodi ya mikopo, kati yao wanafunzi 33,050 ndio walikidhi vigezo lakini waliopata mkopo ni wanafunzi 29,113. Asilmia 31.9 ni wasichana wakati asilimia 68.0 ni wavulana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
I. UTANGULIZI: a) Maswali Mhe...
No comments:
Post a Comment