Wednesday, September 5, 2012
Tume ya kukusanya maoni kuhusu katiba mpya ikiongozwa na ndg Warioba imetua wilayani Kasulu mkoani Kigoma, tume hiyo itaanza kukusanya maoni ya wakazi wa wilaya ya kasulu leo Alhamis 6 august katika uwanja wa umoja Kasulu mjini kuanzia sa tatu asubuhi hadi saa kumi na moja jioni. Wananchi wote wanaombwa kuhudhuria na kushiriki katika shughuli hiyo moja kwa moja au kwa kuandika waraka na kuufikisha kwa tume hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
-
-
-
Mkufunzi mkuu na meneja wa klabu ya Manchester United David Moyes a...
No comments:
Post a Comment