Wednesday, September 5, 2012
Tume ya kukusanya maoni kuhusu katiba mpya ikiongozwa na ndg Warioba imetua wilayani Kasulu mkoani Kigoma, tume hiyo itaanza kukusanya maoni ya wakazi wa wilaya ya kasulu leo Alhamis 6 august katika uwanja wa umoja Kasulu mjini kuanzia sa tatu asubuhi hadi saa kumi na moja jioni. Wananchi wote wanaombwa kuhudhuria na kushiriki katika shughuli hiyo moja kwa moja au kwa kuandika waraka na kuufikisha kwa tume hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe akitoa ufafanuzi juu ya taarifa yake ya mahesabu y...
-
-
ENEO la Mbagala Kizuiani, Dar es Salaam jana liligeuka uwanja wa mapambano kati ya makundi ya watu wanaosadikiwa kuwa ni Waislamu na polis...
-
No comments:
Post a Comment