Thursday, September 6, 2012
Tume ya kukusanya maoni imeendelea kukusanya maoni kuhusu katiba wilayani kasulu mkoani Kigoma. Baadhi ya maoni yaliyotolewa na wakazi wa Kasulu ni pamoja na Kupunguza madaraka ya raisi, Isiwepo mahakama ya Kadhi na Jumuia ya waislam OIC, Asiwepo mkuu wa wilaya, Kuwepo serikali ya majimbo na kuwepo kwa Uhuru wa dini nchini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
No comments:
Post a Comment