Wednesday, September 26, 2012

Okwi kuikosa mechi ya Simba na Yanga. Shirikisho la soka nchini TFF, limethibitisha adhabu ya Emmanuel Okwi ya kuikosa mechi ya Simba na Yanga itakayochezwa Oct 3. Hii ni baada ya Okwi kupewa kadi nyekundu katika mchezo dhidi ya JKT Ruvu. Afisa habari wa shirikisho hilo Bw Boniface Wambura amesema "Okwi atakosa jumla ya mechi tatu ikiwemo ya oct 3, pia atalipa faini ya laki tano"

No comments:

Zilizosomwa zaidi