Wednesday, September 26, 2012
Okwi kuikosa mechi ya Simba na Yanga. Shirikisho la soka nchini TFF, limethibitisha adhabu ya Emmanuel Okwi ya kuikosa mechi ya Simba na Yanga itakayochezwa Oct 3. Hii ni baada ya Okwi kupewa kadi nyekundu katika mchezo dhidi ya JKT Ruvu. Afisa habari wa shirikisho hilo Bw Boniface Wambura amesema "Okwi atakosa jumla ya mechi tatu ikiwemo ya oct 3, pia atalipa faini ya laki tano"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kikosi cha Stars. TIMU ya Taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars' imeondolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania kufuzu kucheza Ko...
-
-
-
Picha ikionyesha ukatili dhidi ya waandishi wa habari Jumla ya waandishi wa habari 110, wameuawa duniani kote katika kipindi cha mwa...
-
African Nations Cup FT Ghana 2 - 0 Cape Verde Islands FT-Penati South Africa (1)1 - 1(3) Mali Barclays Premier League FT Que...
No comments:
Post a Comment