Wednesday, September 26, 2012
Okwi kuikosa mechi ya Simba na Yanga. Shirikisho la soka nchini TFF, limethibitisha adhabu ya Emmanuel Okwi ya kuikosa mechi ya Simba na Yanga itakayochezwa Oct 3. Hii ni baada ya Okwi kupewa kadi nyekundu katika mchezo dhidi ya JKT Ruvu. Afisa habari wa shirikisho hilo Bw Boniface Wambura amesema "Okwi atakosa jumla ya mechi tatu ikiwemo ya oct 3, pia atalipa faini ya laki tano"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyez...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
-
1 Tukio la tetemeko: Tarehe 10/09/2016 saa 9 na dakika 27 mchana kumetokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Kitovu cha teteme...
-
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeongeza siku mbili za kupiga kura ya kuchagua wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya, zoezi ambalo awali ...
No comments:
Post a Comment