Sunday, August 12, 2012

Dk Steven Ulimboka arejea nchini kutoka Afrika Kusini alipokuwa akipewa matibabu. Baada ya kupigwa vibaya na watu wasiojulikana hali yake ilikuwa mbaya sana hadi kufikia hatua ya kupelekwa Afrika kusini kwa matibabu. Hadi hivi sasa hali yake inaendelea vizuri.

No comments: