Monday, August 27, 2012
Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu yakabiliwa na tuhuma za Ubadhilifu wa pesa. Imeripotiwa kuwa vigogo katika bodi hiyo hujilipa mishahara minono, kigogo mwingine aajiri ndugu zake 11 wasio na sifa. Mpaka sasa pesa iliyokusanywa na Bodi hiyo ni bilion 9 tu, na zaidi ya bilion 300 hazijakusanywa bado. Chanzo: Jamii forum
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
-
(Kutoka kwa Nathani)
No comments:
Post a Comment