Monday, August 27, 2012
Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu yakabiliwa na tuhuma za Ubadhilifu wa pesa. Imeripotiwa kuwa vigogo katika bodi hiyo hujilipa mishahara minono, kigogo mwingine aajiri ndugu zake 11 wasio na sifa. Mpaka sasa pesa iliyokusanywa na Bodi hiyo ni bilion 9 tu, na zaidi ya bilion 300 hazijakusanywa bado. Chanzo: Jamii forum
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
No comments:
Post a Comment