Farajadogeje.blogspot.com

*Wasiliana nasi: Simu : 0713-914 416 , E-mail: fdogeje@gmail.com

Pages

  • Home
  • National/Local
  • Sports & Intertainment
  • Bussiness
  • Photos

TANGAZA NASI HAPA

TANGAZA NASI HAPA

Thursday, December 3, 2015

MAHAKAMA YAFUTA KESI YA LIPUMBA

Kesi iliyokuwa inamkabiri mwenyekiti wa zamani wa chama cha CUF Pro Ibrahim Lipumba na baadhi ya wafuasi wa CUF kwa kosa la kuandamana bila kibali, imefutwa leo hii katika Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam, Kesi hiyo ambayo ilikuwa isomwe Jan. 15.2016, ilirudishwa nyuma na kusikilizwa leo asubuhi ambapo maamuzi ya kufuta kesi hiyo yametolewa rasmi.

Posted by farajadogeje.blogspot.com at 12:33:00 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Zilizosomwa zaidi

  • KAMA UMEMISI FOLENI ZA DAR, HII INAKUHUSU.
  • HUYU NDIO BINADAMU MWEUSI KULIKO WOTE DUNIANI !.
    INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
  • HAYA NDIO MAGARI ALIYOTUMIA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE ENZI ZA UHAI WAKE
    1.AUSTIN MORRIS A-40 AUSTIN MORRIS A-40   Gari aina ya  Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 ...
  • HABARI KUBWA KWA KURASA ZA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI 10 MAY 2014
  • HAYA NDIO MATOKEO KAMILI YA MICHEZO ZILIZOCHEZWA HAPO JANA TANZANIA BARA
    YANGA 1-1 Prisons  SIMBA 6-0 Mgambo Kagera 2-1 JKT Oljoro  Azam 1- 1 Ashanti  Coastal 1-1 Rhino Mtibwa 0-0 MBEYA  City  ...

Jiunge nasi katika facebook

BLOG YETU

BLOG YETU


Blog Archive

About Me

farajadogeje.blogspot.com
View my complete profile
faraja. Watermark theme. Powered by Blogger.