Kama wewe ni kijana ndio umemaliza chuo au upo mtaani unatafuta kazi na umeomba kazi mbalimbali halafu baadae ukapata ujumbe kama huu au unaofanana na huu kwa namna moja au nyingine Wapuuzie.. Usiwahusudu watu kama hawa, nin matapeli, Utatapeliwa bure pesa yako ya mkopo ukijipa tumaini kuwa utapata kazi kumbe hakuna. Mwenye macho, masikio na akili atazingatia lakini Mbulura na wasiojari atachukulia poa na kuyadharau haya..Tuesday, August 18, 2015
#TAHADHARI KWA WANAOTAFUTA KAZI
Kama wewe ni kijana ndio umemaliza chuo au upo mtaani unatafuta kazi na umeomba kazi mbalimbali halafu baadae ukapata ujumbe kama huu au unaofanana na huu kwa namna moja au nyingine Wapuuzie.. Usiwahusudu watu kama hawa, nin matapeli, Utatapeliwa bure pesa yako ya mkopo ukijipa tumaini kuwa utapata kazi kumbe hakuna. Mwenye macho, masikio na akili atazingatia lakini Mbulura na wasiojari atachukulia poa na kuyadharau haya..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
(Mr. Ponciano Vanpyeree.) Ukiachana na mambo ya Shule, haya ni mambo ambayo kijana huyu anjihusisha nayo. Yeye anadai hii mambo ik...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
No comments:
Post a Comment