Kama wewe ni kijana ndio umemaliza chuo au upo mtaani unatafuta kazi na umeomba kazi mbalimbali halafu baadae ukapata ujumbe kama huu au unaofanana na huu kwa namna moja au nyingine Wapuuzie.. Usiwahusudu watu kama hawa, nin matapeli, Utatapeliwa bure pesa yako ya mkopo ukijipa tumaini kuwa utapata kazi kumbe hakuna. Mwenye macho, masikio na akili atazingatia lakini Mbulura na wasiojari atachukulia poa na kuyadharau haya..Tuesday, August 18, 2015
#TAHADHARI KWA WANAOTAFUTA KAZI
Kama wewe ni kijana ndio umemaliza chuo au upo mtaani unatafuta kazi na umeomba kazi mbalimbali halafu baadae ukapata ujumbe kama huu au unaofanana na huu kwa namna moja au nyingine Wapuuzie.. Usiwahusudu watu kama hawa, nin matapeli, Utatapeliwa bure pesa yako ya mkopo ukijipa tumaini kuwa utapata kazi kumbe hakuna. Mwenye macho, masikio na akili atazingatia lakini Mbulura na wasiojari atachukulia poa na kuyadharau haya..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Bwana Harusi Fadhili Mahenge akiwa ndani ya Suti akisubiri kufungishwa ndoa Bi Harusi Naomi Ngoje akiwa amejilalia chumbani akis...
-
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
-
-
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, limedai kushangazwa kwake na ukimya wa serikali pamoja na vyombo vya dola kwa kutochukua hatua m...
-
NGULI wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ ameanza kuugua tena ambapo tangu Sikukuu ya Iddi hadi sasa yupo hoi k...
No comments:
Post a Comment