Kama wewe ni kijana ndio umemaliza chuo au upo mtaani unatafuta kazi na umeomba kazi mbalimbali halafu baadae ukapata ujumbe kama huu au unaofanana na huu kwa namna moja au nyingine Wapuuzie.. Usiwahusudu watu kama hawa, nin matapeli, Utatapeliwa bure pesa yako ya mkopo ukijipa tumaini kuwa utapata kazi kumbe hakuna. Mwenye macho, masikio na akili atazingatia lakini Mbulura na wasiojari atachukulia poa na kuyadharau haya..Tuesday, August 18, 2015
#TAHADHARI KWA WANAOTAFUTA KAZI
Kama wewe ni kijana ndio umemaliza chuo au upo mtaani unatafuta kazi na umeomba kazi mbalimbali halafu baadae ukapata ujumbe kama huu au unaofanana na huu kwa namna moja au nyingine Wapuuzie.. Usiwahusudu watu kama hawa, nin matapeli, Utatapeliwa bure pesa yako ya mkopo ukijipa tumaini kuwa utapata kazi kumbe hakuna. Mwenye macho, masikio na akili atazingatia lakini Mbulura na wasiojari atachukulia poa na kuyadharau haya..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
1.AUSTIN MORRIS A-40 AUSTIN MORRIS A-40 Gari aina ya Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 ...
-
-
YANGA 1-1 Prisons SIMBA 6-0 Mgambo Kagera 2-1 JKT Oljoro Azam 1- 1 Ashanti Coastal 1-1 Rhino Mtibwa 0-0 MBEYA City ...
No comments:
Post a Comment