Dereva wa bodaboda aina ya Bajaj Boxer yenye namba za usajili T 344 CDJ ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja muda si mrefu amepata ajali na kuzirai baada ya kumgonga mama mjamzito aliyekuwa akikatisha barabara eneo la Kigogo Luhanga bodaboda jijini Dar es Salaam. Mama huyo anayedaiwa kuwa chanzo cha ajali hiyo alitoka mbio baada ya msala huo.
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.