Wednesday, September 18, 2013

HII NI TAARIFA KUTOKA IKULU JJINI DAR KUJA KWA WATANZANIA WOTE


Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
              press@ikulu.go.tz           
Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Jacqueline M. Maleko kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE).

Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Balozi Ombeni Y. Sefue, uteuzi huo ulianza Septemba 10, mwaka huu, 2013.

Kabla ya uteuzi huu, Bi. Maleko alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Masoko, Wizara ya Viwanda na Biashara, kabla ya kuteuliwa kukaimu nafasi hiyo ya Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade.
“Mwisho”

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
DAR ES SALAAM.

18 Septemba, 2013

No comments:

Zilizosomwa zaidi