Tuesday, April 2, 2013

KAMA UNADHANI MAREKANI HAKUNA OMBAOMBA ANGALIA HAPA..



(Mmoja wa ombaomba huko U.S.A)
Sasa hali ya umaskini unaongezeka nchini marekani. Idadi ya watunanaopata chakula cha msaada imeongezeka ka asilimia 70 tangu mwaka 2008 kwa takribani watu millioni 50.
Uchunguzi unaonesha kuwa tangu kuporomoka kwa uchumi Marekani, hali ya watu inazidi kuwa ngumu.


No comments:

Zilizosomwa zaidi