Mvua kubwa iliyonyesha nchini Indonedia imesababisha vifo vya watu sita na wengine 18 hawajulikani walipo baada ya ardhi kuporomoka katika kisiwa cha Java nchini humo.
Mamia ya polisi, wanajeshi na umma wamekuwa wakichimba magofu wakiwatafuta walionusurika..
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.