Pages

Monday, March 25, 2013

6 WAFARIKI KATIKA MAPOROMOKO HUKO INDONESIA...!

Waokoaji nchini Indonesia
Mvua kubwa iliyonyesha nchini Indonedia imesababisha vifo vya watu sita  na wengine 18 hawajulikani walipo baada ya ardhi kuporomoka katika kisiwa cha Java nchini humo.
Mamia ya polisi, wanajeshi na umma wamekuwa wakichimba magofu wakiwatafuta walionusurika..

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.