Monday, December 24, 2012
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Bw Suleiman Kova, amesema jeshi la polisi nchini limejipanga vyema katika kuimarisha ulinzi wakati wa sikuku hizi za Krismass na mwakampya. 'Mtu yeyote atakayepatikana akijihusisha na vitendo vinavyoweza kusababisha vurugu, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kutokana na Manchester United kutofanya vizuri chini ya uongozi wake David Moyes hatimaye leo April 22 wamemtangaza Mchez...
-
"We have to fight until the end of the season. But we need to find more defensive stability."
-
Sote tunaweza kuwa maarufu, tunaweza kuwa chochote tunachotaka . Pamoja na hayo, jambo moja ambalo ni dhahiri itakuwa ni vigumu sana k...
-
Soko la kimataifa la mahindi Kibaigwa katika Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma kwa sasa ni jeupeee kuto...
-
Basi la smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko ...
No comments:
Post a Comment