AY ndio msanii pekee kutoka TANZANIA (East Africa) aliyenyakuwa tuzo ya Channel O Music Video Award kwa mwaka huu 2012 katika kipengele cha MOST GIFTED AFRICAN EAST VIDEO OF THE YEAR. Video iliyochukuwa tuzo hiyo ni I DON'T WANT TO BE ALONE akiwa amewashirikisha wasanii kutoka Nairobi Kenya wanaokwenda kwa jina la Sauti Sol.
Sunday, November 18, 2012
AY ASHIKILIA TUZO YA CHANEL O KWA AFRIKA MASHARIKI.
AY ndio msanii pekee kutoka TANZANIA (East Africa) aliyenyakuwa tuzo ya Channel O Music Video Award kwa mwaka huu 2012 katika kipengele cha MOST GIFTED AFRICAN EAST VIDEO OF THE YEAR. Video iliyochukuwa tuzo hiyo ni I DON'T WANT TO BE ALONE akiwa amewashirikisha wasanii kutoka Nairobi Kenya wanaokwenda kwa jina la Sauti Sol.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Ashindwa kutetea kiti Mara
-
Waethiopia waendelea na mbio ndefu
-
ORODHA YA WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA 2012 ( 249.92 kB ) ORODHA YA WALIOCHAGULI...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
12:45 Manchester United v Arsenal 15:00 Fulham v Everton 15:00 Norwich City v Stoke City 15:00 Sunderland v Aston Villa 15:00 Swansea C...

No comments:
Post a Comment