Thursday, October 18, 2012

PICHA MBALIMBALI ZA PONDA AKIWA MAHAKAMANI.

Picture Picture Picture Picture Picture Picture Picture Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu(T), Sheikh Issa Ponda na wafuasi wake 49 jana wakishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam chini ya ulinzi mkali wa wanausalama kwa kosa la uchochezi na wizi wa malighafi zenye thamani ya Shilingi milioni 59.

No comments:

Zilizosomwa zaidi